
Wanafunzi kutoka shule za sekondari mbalimbali pamoja na walimu wa shule hizo wakifuatilia kwa umakini mada iliyokuwa ilikuwa ikiendelea kwenye sherehe hiyo,iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa 29-Octoba 2013jijini Dar es salaa, zilizofunguliwa na Naibu Kamishna Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA,Bw Rished Bade.

0 comments:
Post a Comment