![]() |
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN). |
![]() |
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani . |
![]() |
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw:Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradiwa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu OWM Mkoani Dodoma |
No comments:
Post a Comment