Info@DiraYetu
Wednesday, 5 November 2014
MATOKEO YA DARASA YAMETOKA, UFAULU WAONGEZEKA TOFAUTI NA MWAKA JANA!!
DK. CHARLES E. MSOND
E AKITANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA MAPEMA HII LEO OFISINI KWAKE.
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya darasa la Saba mwaka 2014 ambayo yameonyesha ongezeko la ufaulu wa asilimia 56.99 tofauti na ufaulu wa mwaka jana wa asilimia 51.6
Akitangaza matokeo hayo jijini Dar es salaam leo Novemba 5, 2014 Katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania, Dk.Charles Msonde, ametaja jumla ya wanafunzi waliojisajili kufanya mitihani kufikia 792,118 sawa na asilmia 98.2 na jumla ya watahiniwa 451 wamepata alama 100 au zaidi huku mkoa wa Dar es salaam ukiogoza.
HAYA HAPA NDO MATOKEO YENYEWE:
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS
ARUSHA
DAR ES SALAAM
DODOMA
IRINGA
KAGERA
KIGOMA
KILIMANJARO
LINDI
MARA
MBEYA
MOROGORO
MTWARA
MWANZA
PWANI
RUKWA
RUVUMA
SHINYANGA
SINGIDA
TABORA
TANGA
MANYARA
GEITA
KATAVI
NJOMBE
SIMIYU
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment