ZIARA YA WAZIRI MKUU MH.MIZENGO PINDA LOLIONDO - NGORONGOR0

Mmoja wa wananchi  wa kijiji cha Mdito wilayani Ngorongoro akiwa na bango la kumkaribisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipowasili kijijini hapo akiwa  katika  ziara ya wilaya  hiyo Septemba 24, 2013. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akivalishwa zawadi ya shanga na Bibi  Martha Seleli  wa kijiji cha Mdito wilayani Ngorongoro wakati  Waziri  Mkuu , Mizengo  Pinda alipopita kijijini hapo akiwa katika ziara ya wilaya hiyo.

Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akisalimiana na Babu wa Loliondo.

Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akiwa na wacheza ngoma wa kabila la Wasonje  kabla ya kuhutubia mkutano wa  hadhara katika kijiji cha Digodigo wilayani Ngorongoro   Septemba 24, 2013.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda  (kulia)  akicheza  ngoma na wasichana wa  kabila la Wasonje  wakati Waziri Mkuu, Mizengo  pinda alipohutubia Mkutano wa hadhara katika kijiji cha Digodigo  wialyani Ngorongoro  septemba 24, 2013.
Vijana wa Kisonjo wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika kijiji Digo Digo wilayani Ngorongoro mwishoni mwa wiki.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  (kushoto) akihutubia mkutano wa hadhara   katika kijiji  cha Digodigo  wilayni Ngorongoro, Septemba 24, 2013.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment