WAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWAKUFANYA KAZI KWA MALENGO ILI KUBORESHA MAISHA YAO!!


Mkuu wa Wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro akifungua  semina iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa wakulima wa zao la Tumbaku katika Ukumbi wa Sapanjo unaomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya Chunya

Mwakilishi wa Meneja wa NMB Kanda Sumka Mbuba amesema Benki ya NMB ina mkakati wa kuwa karibu na wakulima wa mazao mbalimbali na kuendesha semina mbalimbali zitakazowasaidia wakulima kujikwamua kiuchumi.

Meneja wa NMB wilaya Chunya Musa Mumba alisema Benki yake ipo tayari kutoa mikopo kwa wakulima wa zao la Tumbaku na kuwataka kuwa waaminifu katika kurejesha mikopo kwa wakati ili iweze kusaidia wakulima wengine.

Baadhi ya wwezeshaji tika NMB wakimsikiliza mgeni rasmi


Wakulima wa zao la Tumbaku wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi





Picha ya pamoja









Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment