HAYA NDIYO YALIYOJIRI MAMBO JAMBO FM.

 Picha, Habari Na Emanuel Onesmo Nda
nshau.

Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Redio MAMBO JAMBO fm (MJ redio) Bw JONATHAN NJAID akifuatiwa na fundi mitambo Bw Sjaona Massawe pamoja Mhariri mkuu  Bw.deogratius Michael Lyimo.

                                   

Wanafunzi wa Darasa la NATRON katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha kutoka kushoto Bi.Virginia Daniel,Bi Mwajuma Abdul,Elibariki Madih na NasraKimaro wa nyuma wakipata maelezo mafupi kabla ya kuanza kipindi.


Mtangazaji Nickson Robert Jonathan akipangilia miziki kabla ya kuanza kipindi rasmi.

Mtangazaji Nickson Robert Jonathan akitoa ishara yakuashiria kipindi kimeanza rasmi.

Bi. Nasra Kimaro (kushoto) na Bi.Merlyine Olotu wakiskiliza kwa makini mfululizo wa yatakayojiri katika kipindi hicho.


Bi. Mwajuma Abdul (kushoto) na Bi.Merlyine Olotu wakiskiliza kwa makini mfululizo wa yatakayojiri katika kipindi hicho.

Wanafunzi wa Darasa la NATRON katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha kutoka kushoto Bi.Mwajuma Abdul, Bi.Merlyine Olotu, Bi.Virginia Daniel (aliyeinama),Elibariki Madih na NasraKimaro wa nyuma katika picha ya pamoja.
 
Mtangazaji Gilbert Boniface akielezea waskilizaji umuhimu wakupiga simu hapo studio nakutoa maoni juu ya wageni waliokaribishwa katika kipindi hicho,pembeni ni mtangazaji Nickson Jonathan akimsiliza kwa makini.

Bi Virginia Daniel akichangia mada juu ya umuhimu wa serikali kutumia mfumo wa VIDEO katika ufundishaji wa tamthilia kwenye Mitaala yake.


Walionyoosha mikono juu ni Bi.Mwajuma Abdul pamoja na Bi.Virginia Daniel wakiashiria kuipinga hoja ya Bi.Merilyine Olotu, kushoto kabisa ni Bw Elibariki Madih akifuatilia kwa makini na mdahalo huo.

Fundi mitambo wa Redio Mambo Jambo Bw.Sjaona Masawe akijaribu timetable  katika moja ya kazi zake za kila siku.

Blogger  Emanuel Ndanshau (aliyekaa)akifuatilia kwa makini kipindi  baada kuhojiwa akiwa ndiye Msaka Tonge wa siku.
 Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa habari na Utangazaji Arusha (AJTC) ngazi ya Stashahada wamepata fursa yakuzindua kipindi cha Clab ya wanafunzi Mashuleni hivi leo jijini Arusha.

Kipindi hicho kinalenga kuibua mambo  yanayotokea katika chule za Sekondari na Vyuo yenye kurekebisha na kukosoa tabia mbalimbali za wanafunzi pamoja na kubadilishana vipawa mbalimbali.

Pamoja na hayo kipindi hicho kitarushwa kila siku ya Jumamosi kuanzia saa tano kamili hadi kufikia muda wa saa nane.
katika uzinduzi huo wanafunzi hao wa darasa la NATRON wamepata nafasi yakuzungumzia mambo mbalimbali kama ratiba inavyoonyesha hapa chini.


MUDA
SEGMENT
TOPIC
05:00-05:05
LISAA LA KWANZA.


Jingo za kipindi na matangazo ya wadhamini.




05:05-05:15
Top 5 music.
Chaguo la wanafunzi wenyewe.



05:15-05:25
Usicho kijua katika ulimwengu huu.
Kuwafamisha wasikilizaji vitu wasio vijua katika ulimwengu.



05:25-05:35
Genge la Pastor Rastar.
Maoni ya wanafunzi kuhusu kero zinazo wahusu katika elimu.



05:35-05:48
Msakatonge na skuli.
Mwanafunzi anaejishugulisha na biashara huku akiwa bado anasoma.



05:48-06:00
Kibonzo/ kipi kikali?
Kinatoka kwa mmoja ya wanafunzi walioko studio.




LISAA LA PILI.

06:00-06:10
School boning life.
Mwanafunzi kuelezea changamoto za maisha ya shule ya kulala.



06:10-06:25
Face to face qustion.
Maswali ya papo hapo kutoka kwa mtangazaji kwenda wanafunzi,



06:25-07:00
Student debate.
 Wanafunzi wanakuwa na mdaalo ambapo mada anaitambulisha mtangazaji.



07:00-07:30
Wasikilizaji kupiga simu.
Wasikilizaji wa kipindi kupiga simu na kuchangia mada kwa ufupi pamoja na kusoma sms zao.



07:30-07:38
Wazo la mnama.
Ni mada inayotambulishwa na mtangazaji,kisha wasikilizaji kuichangia kwa kupiga simu,ikiwa katika hali ya ucheshi.



07:38-07:45
My introduction
Wanafunzi wawili kujitambulisha zaidi na shule/chuo alikotoka.



07:45-07:50
Comment section/audience.
Kupokea simu za wasikilizaji/wanafunzi kubashiri washindi wa student debate.



07:50-07:55
King wa student debate leo.
Kumtangaza mshindi wa student debate na kutangaza wiki ijayo shule zitakazo kuwa katika debate
07:55-08:00
MWISHO
Wanafunzi kuwatumia marafiki kadhaa salamu.



 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment