HABARI PICHA BUNGE LA BAJETI DODOMA!!



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Maswali ya Papo kwa papo bungeni mjini Dodoma Julai 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2522 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na madiwani wa jimbo la Busanda kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 12, 2014. Kulia ni mbunge wao Lolesia Bukwimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2610 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Sarah Kasui, mwanafunzi wa Kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Sejeli mkoani Dodoma kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2616 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge Nyambali Nyangwine wa Tarime (katikati) na na Saidi Mtanda wa Mchinga kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2635 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2655 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum,Lucy Mayenga (kushoto) na Mbunge wa Mchinga Saidi Mtanda kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mstaafu, Edward Lowassa akiwa katika picha ya pamoja na madiwani kutoka jimbo la Busanda, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. Wapili kulia ni Mbunge wa jimbo hilo, Lolesia Bukwimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2671 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na madiwani kutoka jimbo la Busanda, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. Wapili kulia ni Mbunge wa jimbo hilo, Lolesia Bukwimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A2680 
Waziri kuu, Mizengo Pinda akisalimana na viongozi wa vijiji na kata kutoka jimbo la Ludewa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment