TIBA YA JUISI YA NYANYA!!

Wengi wetu tunaifahamu nyanya kama kiungo kwenye mapishi yetu au hata kachumbari kwenye mlo.
        Hata hivyo, watafiti nchini marekani wamebaini kuwa wanawake wanaokunywa juisi ya nyanya angalau mara moja kwa wiki,
wanapunguza kiwango cha kupata maradhi ya saratani ya matiti.

        Kwa mfano, wanaeleza kuwa glasi moja ya nyanya kwa siku ina kiwango sahihi na cha kutosha cha madini ya Lycopene, ambacho ni kemikali za mimea zinazoaminika kuondoa kukua kwa saratani.

        Madini ya lycopene ndio yanayozipa nyanya rangi yake nyekundu na nyanya hizo zimeundwa zaidi na vichocheo vyenye uwezo wa kuzuia saratani hiyo.

Watafiti katika chuo kikuu cha Rutgers Nchini Marekani walipima, kiwango cha vichocheo kwa wanawake 70 wenye miaka 55 na kuendelea ambao walitumia juisi ya nyanya kwa wiki 10. Wanawake hao ambao wengi walikuwa waneen kupita kiasi na baadhi wenye dalili ya saratani, walipungua uzito na saratani ilikwisha.

        Kwa kuwa nyanya ni tunda linalopatika wakati wowote tena jikoni kwako, ni vyema wanawake wakajenga mazoea ya kuzitumia kama mlo hata wasipo tengeneza juisi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment