KAMPUNI YA TOTAL YAZINDUA KITUO CHA PETROLI AFRICANA

Ofisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw.Fadhili Kileo kushoto  na Mkurugenzi mtendaji wa Total Bw. Stephane Gay wakikata utepe kuashilia kuzindua kituo kipya cha petroli cha Africana leo PIcha na mpiga picha wetu

baada ya kufanyika uzinduzi

Picha ya pamoja ya viongozi wa selekari pamoja na maofisa mbalimbali

Kaimu Mkurugenzi wa Shule za Msingi Bi,Sara Mraki akitoa neno la shukrani pamoja na kuwasisitiza walimu waliokabiziwa madawati wayatunze

 Mkurugenzi mtendaji wa Total Bw. Stephane Gay akipeana mkono na Ofisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw.Fadhili Kileo baada ya kukabizi madawati
 Mkurugenzi mtendaji wa Total Bw. Stephane Gay akipeana mkono na Mwalimu wa shule ya msingi Mchikichini Bi,Eliza Chiwamala wakati wa kukabiziwa madawati kwa shule za msingi mkoa wa Dar es salaam zilizotolewa na Total

Baazi ya walimu na wafanyakazi wa seloekarini wakiwa kwenye madawati baada ya kukabiziwa
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment