YANGA YAUA KAGERA, SHUJAA NGASSA NA KIIZA, SIMBA SC YAENDELEA KUNG'ARA KILELENI.


Timu ya YANGA SC imeshinda tena mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ugenini msimu huu baada ya kuilaza Kagera Sugar mabao 2-1 Uwanja wa Kaitaba, Bukoba jioni hii, wakati watani wao wa jadi, Simba SC pia wameshinda 1-0 dhidi ya Prisons Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
jonas_mkude_e9ddc.jpg
Jonas Mkude
Uwanja wa Taifa, bao pekee la Simba SC limefungwa na Jonas Mkude dakika ya 62, wakati Uwanja wa Kaitaba, mabao ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngassa dakika ya kwanza na Hamisi Kiiza 57, wakati la Kagera limefungwa na Godfrey Wambura dakika ya 47. Coasal Union na Ashanti zimetoka 1-1 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. HABARI ZAIDI ITAFUATIA.
yanga_goli_la_kwanza_56f0c.jpg
Ngassa akishangilia na Mbuyu Twite baada ya kufunga.
Chanzo:http:bongostaz.blogspot.com
POSTED BY:www.info@dirayetu.blogspot.com
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment