HABARI PICHA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA!!

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (katikati), Andrew Chenge (kulia) na James Mbatia wakiteta jambo bungeni mjini Dodoma leo Machi 31, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Anne Makinda ambaye ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akibadilishana mawazo na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Kificho ndani ya bunge leo.


 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Anne Makinda (kushoto) na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Namelok Moringe Sokoine (kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuelekea katika vikao vya Kamati mbalimbali za kupitia vifungu mbalimbali rasimu ya Katiba mpya zoezi ambalo  limeanza leo .
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Zakia Meghji(kushoto) na Christopher Ole Sendeka(kulia) wakijadiliana leo mjini Dodoma kabla ya kuelekea katika Kamati zao kwa ajili ya kuanza kupitia rasimu ya Katiba mpya.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba James Lembeli (kushoto) na Mchungaji Peter Msigwa (kulia) wakijadiliana leo mjini Dodoma kabla ya kuelekea katika Kamati zao kwa ajili ya kuanza kupitia rasimu ya Katiba mpya.
 Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Tundu Lissu akitanga Kamati ya Uongozi kutoa ratiba itakayoongoza shughuli za Bunge hilo leo mjini Dodoma
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba,Waziri Mkuu, Mstaafu, Edward  Lowassa (katikati), Andrew Dhenge (kulia) na James Mbatia   wakiteta, bungeni jini Dodoma machi 31,2014
 Wajumbe wa Bunge Maalum la katiba na Maspika, Anne makinda wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kushoto) na Pandu kificho wa Baraza la Wawakilishi wakiteta, Bungeni Mjini Dodoma Machi 31,  2014.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta akiondoka katika ukumbi wa Bunge mara baada ya kuharisha kikao cha Bunge leo mjini Dodoma ambao wajumbe wameelekea katika Kamati zao mbalimbali kupitia vifungu vya rasimu ya Katiba Mpya.Picha na Tiganya Vincent-Dodoma na Ofisi ya Waziri Mkuu
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment