Ndugu Deos Khamisi Mndeme akikabidhi cheti na hundi kwa mfanyakazi bora kutoka wafanyakazi watendaji Ndugu Joseph Kakokele.
Mfanyakazi
  bora kutoka Divisheni ya Rasimali za Shirika, Fredrick Makundi,  
akipokea cheti na tuzo kutoka kwa Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta  
Tanzania (TPC), wakati wa hafla hiyo.
Mfanyakazi
  bora kutoka Divisheni ya Rasimali za Shirika, Abdallah Waziri, 
akipokea  cheti na tuzo kutoka kwa Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta 
Tanzania  (TPC), wakati wa hafla hiyo.
Mfanyakazi
  bora kutoka Ofisi ya Postamasta Mkuu, Mashala Lifunga, akipokea cheti 
 na tuzo kutoka kwa Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), 
 wakati wa hafla hiyo iliyofana kwa kiasi kikubwa.
Mfanyakazi
  bora kutoka  Ofisi ya Postamasta Mkuu, Christopher Mjema, akipokea  
cheti na tuzo kutoka kwa Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania  
(TPC), kwenye hafla hiyo.
About Unknown
                            This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
                          
0 comments:
Post a Comment