JUMAPILI HII NI: MAN UNITED v ARSENAL, ROONEY ATAKA USHINDI!! MARA YA MWISHO ARSENAL KUIFUNGA MAN UNITED 2011!!


Arsenal manager Arsène Wenger during his team's 3-1 defeat to Manchester United


Wayne Rooney hana hakika kama Arsenal wanaweza kutwaa Ubingwa licha ya kuwa hivi sasa, baada ya Mechi 10 za Ligi Kuu England, wako Pointi 5 mbele kileleni na Jumapili ijayo wanaelekea Uwanjani Old Trafford kuwavaa Mabingwa Manchester United ambao wako Nafasi ya 8 na Pointi 8 nyuma ya Vinara hao.
David Moyes Is Named The New Manager Of Manchester United
Cocha wa Manchester United DAVID MOYER
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA
Jumamosi Novemba 9
[Saa 12 Jioni]
Aston Villa v Cardiff
Chelsea v West Brom
Crystal Palace v Everton
Liverpool v Fulham
Southampton v Hull
[Saa 2  na nusu Usiku]
Norwich v West Ham
Jumapili Novemba 10
[Saa 9 Mchana]
[Saa 11 Dak 5 Jioni]
Tottenham v Newcastle
Sunderland v Man City
[Saa 1 Dak 10 Usiku]
Man United v Arsenal
Swansea City v Stoke City

Lakini Rooney anahisi Arsenal hawako imara na ametamka: “Inabidi tungoje na tuone MweziROONEY_v_CHELSEAMachi wako wapi. Tumeshawahi kuona wanaongoza hadi Februari au Machi kisha wanafifia. Kwa sasa wanafanya vyema sana lakini ni juu yao kujaribu na kubaki juu na sisi kuwakimbiza kuwakashika.”
Kwa sasa, Man United wanajikongoja kujiweka vyema na Jana Jumanne walitoka Sare ya 0-0 Ugenini huko San Sebasttian walipocheza Mechi ya Kundi A la UEFA CHAMPIONZ LIGI na Real Sociedad na kubaki kileleni mwa Kundi hilo.
Matokeo hayo yamewafanya Man United wawe hawajafungwa katika Mechi 8 zilizopita na huu ni mwendo mzuri ukizingatia walianza Msimu vibaya na hilo limemfanya Rooney aamini ushindi dhidi ya Arsenal ni muhimu mno kwao.

USO kwa USO:
Man United v Arsenal Mechi 175
-Man United Ushindi 75
-Arsenal Ushindi 60
-Sare 40

Rooney amesema: “Tunao uwezo kuwafunga Arsenal. Tumefanya hivyo mara nyingi huko nyuma. Kwa sasa Arsenal wako kwenye fomu nzuri na wanaongoza Ligi, hivyo tunajua Gemu itakuwa ngumu.”
Rooney, ambae amefungana na aliekuwa Straika wa Arsenal Thierry Henry kwa kufunga Bao nyingi kihistoria, Bao 8 kila mmoja, Timu hizi zikukutana, ameongeza: “Lazima tuingie kwenye Gemu tukijiamini tunaweza kuwafunga na kuwasogelea juu. Sasa ni Mechi 10 tu zimechezwa kwa hiyo hamna wasiwasi mkubwa kwa sasa. Tumeanza kufanya vyema. Tunajiamini kwa sasa, hatufungwi mabao na tunacheza kwa uhuru na vizuri. Tukipata ushindi hiyo Jumapili tutakuwa nafasi nzuri.”
MAN UNITED v ARSENAL-Matokeo Mechi za hivi karibuni:
2013-04-28  Ligi: Arsenal  1 Manchester United I
2012-11-03  Ligi: Manchester United 2 Arsenal          1
2012-01-22  Ligi: Arsenal 1 Manchester United          2
2011-08-28  Ligi: Manchester United 8 Arsenal 2
2011-05-01  Ligi: Arsenal 1 Manchester United          0
2011-03-12  FA Cup: Manchester United 2 Arsenal 0
2010-12-13  Ligi: Manchester United 1 Arsenal          0
2010-01-31  Ligi: Arsenal 1 Manchester United          3
2009-08-29  Ligi: Manchester United 2 Arsenal          1
2009-05-16  Ligi: Manchester United 0 Arsenal 0
2009-05-05  UCL: Arsenal 1 Manchester United 3
2009-04-29  UCL: Manchester United 1 Arsenal 0
2008-11-08  Ligi: Arsenal 2 Manchester United          1
2008-04-13  Ligi: Manchester United 2 Arsenal          1
2008-02-16  FA Cup: Manchester United 4 Arsenal 0
2007-11-03  Ligi: Arsenal 2 Manchester United          2
2007-01-21  Ligi: Arsenal  2 Manchester United 1
LIGI KUU ENGLAND
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Arsenal
10
13
25
2
Chelsea
10
8
20
3
Liverpool
10
7
20
4
Tottenham
10
4
20
5
Man City
10
17
19
6
Southampton
10
7
19
7
Everton
10
4
19
8
Man Utd
10
4
17
9
Newcastle
10
-2
14
10
Hull
10
-2
14
11
West Brom
10
0
13
12
Cardiff
10
-4
12
13
Swansea
10
0
11
14
Aston Villa
10
-3
11
15
West Ham
10
0
10
16
Fulham
10
-5
10
17
Stoke
10
-4
9
18
Norwich
10
-14
8
19
Sunderland
10
-15
4
20
Crystal Palace
10
-15
3

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment