Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akipata ufafanuzi wa Ujenzi wa Barabara ya Machame kutoka kwa Kaimu Meneja wa Tanroads mkoan wa Kilimanjaro Mhandisi Reginald Massawe(Kushoto) |
Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga na maofisa wa Tanroads wakishuhudia mifugo ikiswagwa katika barabara ya Machame eneo la Lambo. |
Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akitoa maelekezo ya barabara ya Machame, kulia ni mmoja wa wataalamu wa ujenzi katika wilaya ya Hai Mhandisi Peace. |
Mkuu wa wilaya ya Hai akiangalia moja ya eneo la barabara ya Machame ambalo lina kasoro katika ukarabati wake huku maofisa wa Tanroads mkoa wa Kilimanjaro wakitoa maelezo. |
0 comments:
Post a Comment