KATIKA KUIMARISHA NADHARIA NA VITENDO KWA WAANDISHI WA HABARI CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA KIMEANDAA SHINDANO LA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI !

Mkufunzi mwandamizi katika idara ya Uandishi na Utangazaji katika Chuo hicho Bw.Onesmo Elia Mbise akitoa utaratibu wa mashindano hayo.

Makamu Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha Bw.Elifuraha Samboto (kulia) akiskiliza kwa makini utaratibu wa mashindano hayo,kushoto ni Bw.Lucas Mudah mhadhiri katika Chuo hicho.


Wanafunzi wa ngazi ya Diploma katika Chuo hicho wakiskiliza kwa makini muogozo wa mahindano hayo.



Baathi ya wanafunzi wa ngazi ya Cheti na Diploma wakiskiliza kwa makini utaratibu wa mashindano hayo yatakavyoenda.


Wanafunzi wa ngazi ya Cheti wakiwa makini katika kuandika habari wakati wa kutolewa muongozo wa mashindano hayo.

Mkufunzi Mwandamizi Bw.Onesmo Eliya Mbise akionyesha kombe litakalotolewa kwa mshindi atakayefanya vizuri kila kipengele.

Kombe  lililoandaliwa kwaajili yakukabidhiwa mshindi wa kwanza atakaefanya vizuri kila kipengele.

Mmoja wa wanafunzi kutoka katika darasa la Mount Evarest akichukua tiketi itakayomwonyesha Darasa lake litashiriki kwenye namba ngapi wakati wa shindano hilo.

Lucas Mudah akitoa utaratibu wa mchakato mzima utakavyoenda mara tu baada ya kila darasa kujichagulia namba ya ushiriki katika shindano hilo.


Wanafunzi wa ngazi ya Diploma na Chei katika Chuo hicho wakiskiliza kwa makini muogozo wa mahindano hayo.


Makamu Mkuu wa Chuo Cha Uandisi wa Habari na Utangazaji Arusha Bw.Elifuraha Samboto akisisitiza jambo mara tuu babada ya uwasilishwaji wa utaratibu wa mashindano hayo utakavyokuwa.











Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment