Historia ya Winnie Madikizela-Mandela

Winnie Madikizela-Mandela(amezaliwa tarehe 26 Septemba 1936, kama Nomzamo Winifred Zanyiwe Madikizela) nchini Afrika ya Kusini. Ni mwanasiasa wa Afrika ya kusini, aliyewahi kushika nafasi kadhaa serikalini, kama vile African National Congress Women's League. Kwa sasa ni mwanachama katika chama cha National Executive Committee. Japokuwa ameolewa na Nelson Mandela katika wakati Nelson Mandela anapata kuwa Raisi wa Afrika ya kusini, mwezi wa tano mwaka 1994, hajawahi kuwa mwanamke wa kwanza wa Afrika ya kusini. Kwani wawili hao, waliachana miaka miwili baadae kwa madai ya kuwa Winnie, alikuwa sio mwaminifu baada ya Nelson kutoka gerezani mwezi wa pili mwaka 1990. Talaka ya mwisho ilitolewa tarehe 19/03/1996.


mpiganiaji haki, ni maarufu kwa upande wa wanachama wake , ambao humwiita 'Mama wa Taifa' lakini wapo wanaopingana na hali hii hususani baada ya kukumbana na mashtaka mbalimbali kama vile, kukiukwa kwa haki za binadamu kama vile kumtesa na hatimaye mtoto wa miaka 14, Stompie Moeketsi mwaka 1989. .

Mwezi wa tatu mwaka 2009, Tume ya kujitegemea ya Uchaguzi, iliamua kuwa Winnie Mandela Ndiye mgombea aliyechaguliwa kuwa mgombea wa uraisi kwa tiketi ya chama cha ANC, na angeweza kugombea katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Africa ya Kusini pamoja na kukabiliwa na kashfa mbalimbali.

 Itaendelea..........

@WORLD NEWS.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment