MZEE MANDELA AREJEA NYUMBANI KWAKE PRETORIA KUTOKA HOSPITALINI.

http://guardianlv.com/wp-content/uploads/2013/06/Nelson-Mandela-Winnie-Jac-001.jpgRAIS wa zamani wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela amerejea nyumbani kwake mjini Johannesburg kimya kimya baada ya kulazwa hospitali mjini Pretoria kwa muda mrefu.
Mandela mwenye umri wa miaka 95 alilazwa hospitali tangu Juni 8 mwaka huu baada ya kupata maambukizi katika map
afu.
Hali ya afya yake wiki iliyopita ilitajwa kuwa ‘mbaya lakini imara’ na haikutolewa taarifa tena kuhusiana na afya yake.
Maambukizi ya ugonjwa wake yanasemekana kuhusishwa na kipindi cha karibu miongo mitatu aliyokaa gerezani baada ya kufungwa kutokana na harakati zake za kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo.
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment