UFARANSA HATARINI KUKOSA KOMBE LA DUNIA!!


france ea93a
UFARANSA imejiweka hatarini ya kukosa fainali za kwanza za Kombe la Dunia baada ya miaka 20, kufuatia kipigo cha mabao 2-0 mbele ya Ukraine usiku wa kuamkia leo


Katika mchezo huo ambao Ufaransa ilimpoteza Koscielny aliyetolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 90, mabao ya Ukraine yalifungwa na Roman Zozulya dakika ya 61 na Andriy Yarmolenko kwa penalti dakika ya 83.
Kikosi cha Ukraine kilikuwa: Pyatov, Khacheridi, Shevchuk, Fedetskiy, Kucher, Yarmolenko, Stepanenko, Konoplyanka/Gusev dk90, Rotan, Edmar/Bezus dk76, Zozulya/Seleznyov dk86.
Ufaransa: Lloris, Debuchy, Abidal, Koscielny, Evra, Nasri (Valbuena 80), Matuidi, Pogba, Giroud/Benzema dk70, Ribery, Remy/Sissoko dk64.
 Chanzo: sportmail
POSTED BY:www.info@dirayetu.blogspot.com

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment