 
  Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema hakuna uwezekano wa kubadili muundo wa muungano kutoka Serikali mbili kwenda Serikali tatu katika mchakato wa Katiba.
Licha ya kusema kuwa kuna matumaini ya kupata 
Katiba Mpya, Balozi Sefue alisema ikishindikana Katiba iliyopo 
itafanyiwa marekebisho ili ituvushe hadi mchakato utakaporejeshwa tena.
                
              
                
              
                
              
                
              
                
              
                
              
                
              
                
              
                
              
“Kwenye kila pembe ya nchi utaona kazi 
zinazoendelea za kujenga barabara za lami na changarawe, na kuwekeza 
kwenye kufua, kusafirisha na kusambaza umeme,” alisema.
                
              
0 comments:
Post a Comment